AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanachama wa JamiiForums anasimulia kuwa alianza kufanya biashara maeneo ya Kimara Jijini Dar es Salaam na baada ya muda aliihamishia biashara yake Mkoani Mtwara
Anasema kuwa, biashara ni nzuri sana Mtwara na anapata fedha nyingi sana lakini tatizo ni kupotea kwa fedha hizo katika mazingira ya kutatanisha 'Chuma Ulete'
Anahoji afanye nini ili kuudhibiti upotevu huo wa fedha au 'Chuma Ulete'
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK