AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Wale waliotumia mipira ya kondomu kutoka kampuni ya Life Guard katika kipindi cha mwezi Aprili hadi Oktoba wakapime magonjwa ya kuambukizwa kwa njia ya ngono.’’ Amesema bi Opendi.
Bachi mbili ambazo ni sawa na mipira ya kondomu milioni mbili kutoka kampuni hiyo zilizosambazwa na shirika la kutoa misaada ndizo zilizoathirika.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK