AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kitambulisho hicho kilimuonesha marehemu Aaliyah ana umri wa miaka 18, na kilitumika katika kupata Leseni ya ndoa na hatimaye kufunga ndoa na R. Kelly mwaka 1994.
Demetrius Smith ambaye ni
moja kati ya meneja wa zamani wa R. Kelly alikaririwa kupitia filamu ya "Surviving R. Kelly" akisema Aaliyah alikuwa ana umri wa miaka 15 wakati huo.
Waendesha mashtaka wanasema kujipatia huko Kitambulisho Feki kunahusishwa na Rushwa, na shtaka hilo limeongezwa kwenye mashtaka yake kibao ya Unyanyasaji wa kingono kwa wasichana wadogo ya mjini New York.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK