Sanchoka Afunguka "Walionichafua Watakufa Kinywa Wazi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


BAADA ya picha zake chafu kuzagaa mitandaoni, mrembo ambaye ni mwanamitindo ndani na nje ya nchi, Jane Rimoy ‘Sanchi’, ameibuka na kueleza kuwa waliosambaza watakufa kinywa wazi.

Akizungumza na Over Ze Weekend, Sanchi alisema kuna mtu alimchezea mchezo mchafu lakini alifikiri angemuaibisha milele bila kujua Mungu yupo na anajua ukweli wa kila kitu na ndiyo maana picha moja ilijionyesha dhahiri kuwa siyo yeye.

“Waliofanya ule uchafu ili kuniharibia na kunichafu bila sababu za msingi wanajijua, naona kabisa watakufa kinywa wazi na wala wasifikiri wamenikomesha hapana bado nadunda kama kawaida,” alisema Sanchi.

STORI: IMELDA MTEMA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad