AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msemaji wa Polisi Tanzania, Frank Geofrey amesema wameachana na Matola bila tatizo lolote na wamemtakia kila la kheri katika maisha yake mapya.
Geofrey amesema hawatatafuta kocha msaidizi mwingine, kwani Kocha Mkuu Ally Mtuli atasaidiana na kocha wa viungo katika kuiongoza timu.
Matola amerejea Simba kuchukua nafasi ya Denis Kitambi, ambaye ataondoka baada ya mchakato wa kupatikana Kocha Mkuu ukikamilika
Uongozi wa klabu ya Simba umewasiliana na Shirikisho la soka Tanzania (TFF) ili kupata ruhusa ya kumchukua kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania bara 'Kilimanjaro Heroes' Suleiman Matola kuanza kibarua cha kuwanoa mabingwa hao wa nchi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK