Utafiti: Wadada Wengi Wako Radhi Kutafutiwa Wenzi wa Kimapenzi na Marafiki zao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa takwimu nilizozikusanya inaonekana wadada wengi wako radhi kutafutiwa wapenzi na marafiki zao wa karibu au na marafiki zao wa kiume ambao wanaonekana kuwa ni mfano wa kuigwa kwenye jamii. Idadi kubwa ya wadada wa aina hii ni wale walioumizwa hasa kwa kutokuwa na wapenzi waaminifu au ambao wako dedicated.

Nimejaribu mara kadhaa kuwaambia wadada mbali mbali kuwa wako tayari niwatafuite mahali pa 'kujiweka'? Wengi wao wameonesha utayari wa hali ya juu na wengine wamekuwa hata wakinipigia kufuatilia wajue nimefikia wapi.

Hii inanidhirishia kuwa hata wazazi wetu kutafutiwa wenzi ilikuwa ni jambo ambalo 'walilifurahia' tofauti na picha ambayo tunaipata sasa hivi kuwa walinyimwa haki yao ya kujitafutia wenzi wa maisha.

Hata mimi sasa tu vitoto vyetu na vitoto vya ndugu zangu ambavyo hata miaka minne havijafikisha, lakini nimeshaanza kuona watoto wa marafiki na jama wengine kama potentially wana ndoa wa uzao wetu. Mara nyingi nawataniaga rafiki zangu kuwa binti yako ataolewa kwetu and they seems to be fine with that...
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad