AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni baada ya Diva kusema Harmonize ndio msanii anayelipwa Pesa Nyingi kuliko wasanii wote Tanzania, Wadau huko Facebook wamecharuka...haya ni baadhi ya maoni yao:
Mwinshee Mbako Kutoka kwenye mtandao wa Africamania hii ndio orodha ya wasanii matajiri watatu...(1)Diamonds $5m (2)Kiba $4m (3)professa $3.5m...anakuja (4)Jide anakuja(5) Ay anafata(6)Nature anafata (7)Va essa Mdee...Kwa Harmonize yeye anautajiri wa $1m na kama utataka aje kutumbuiza kwenye show basi lazima umlipe sio chini ya $10000.Pesa zipo kwenye makadilio(not actual amount).Sasa Diva sijui katumia chanzo(Source) gani Kwa hiyo takwimu yake.
Nelly Junior Huyu kila siku utasikia harmonize ndy msanii mkubwa Afrika sasa swali n he bila diamond angemjua sometimes watanzania tuache unafiki hakuna msanii anayelipwa hela ndefu kwa shoo moja zaid ya mondi hapa Tanzania ukibishana we bisha tu
John Mgaya 🤣🤣🤣 naona ile mahali ya milion500 unaitafuta kwa mmakonde sasa maana sio kwakupiga debe uko hayo matango poli kawalishe wasio jielewa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK