Wadau Wamjia Juu Diva Loveness....Wadau Takwimu zake za Harmonize Kuwa Msanii Anaelipwa Hela Nyingi ni za Uongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni baada ya Diva kusema Harmonize ndio msanii anayelipwa Pesa Nyingi kuliko wasanii wote Tanzania, Wadau huko Facebook wamecharuka...haya ni baadhi ya maoni yao:

Mwinshee Mbako Kutoka kwenye mtandao wa Africamania hii ndio orodha ya wasanii matajiri watatu...(1)Diamonds $5m (2)Kiba $4m (3)professa $3.5m...anakuja (4)Jide anakuja(5) Ay anafata(6)Nature anafata (7)Va essa Mdee...Kwa Harmonize yeye anautajiri wa $1m na kama utataka aje kutumbuiza kwenye show basi lazima umlipe sio chini ya $10000.Pesa zipo kwenye makadilio(not actual amount).Sasa Diva sijui katumia chanzo(Source) gani Kwa hiyo takwimu yake.

Nelly Junior Huyu kila siku utasikia harmonize ndy msanii mkubwa Afrika sasa swali n he bila diamond angemjua sometimes watanzania tuache unafiki hakuna msanii anayelipwa hela ndefu kwa shoo moja zaid ya mondi hapa Tanzania ukibishana we bisha tu


John Mgaya ðŸ¤£ðŸ¤£ðŸ¤£ naona ile mahali ya milion500 unaitafuta kwa mmakonde sasa maana sio kwakupiga debe uko hayo matango poli kawalishe wasio jielewa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad