AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya soka ya Aston Villa ambaye imemsajili mtanzania Mbwana Ally Samatta hivi karibu baada ya mchezo wa jana imewashukuru Watanzania kwa sapoti kubwa waliyoionyesha katika kumshangilia mtanzania mwenzao pamoja na timu nzima kwa ujumla.
Katika mchezo huo Aston Villa iliibuka na ushindi wa bao 2-1 na kufanikiwa kutinga fainali ya Carabao Cup.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK