Aston Villa yawashukuru Watanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Klabu ya soka ya Aston Villa ambaye imemsajili mtanzania Mbwana Ally Samatta hivi karibu baada ya mchezo wa jana imewashukuru Watanzania kwa sapoti kubwa waliyoionyesha katika kumshangilia mtanzania mwenzao pamoja na timu nzima kwa ujumla.

Katika mchezo huo Aston Villa iliibuka na ushindi wa bao 2-1 na kufanikiwa kutinga fainali ya Carabao Cup.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad