AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Moses Mwambene(35) Mkazi wa Mtaa wa Ilembo, Mbozi anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumvua nguo na kumchoma kwa pasi Mwanae Victor Moses (12) na kumsababishia majeraha makali, tayari Polisi Mkoani Songwe wanamshikilia Moses.
"Kosa la kumchoma linadaiwa ni Baba alimzuia Mtoto kwenda kumsalimia Mama yake ambaye ametangana na Baba huyo baada ya kutokea ugomvi, lakini Mtoto akakaidi" - POLISI SONGWE
"Alimvua nguo akamuunguza kisha kumvalisha nguo na kumfungia ndani mpaka Majirani waliposhtuka, Madaktari wamepata shida kumvua nguo zimegandana na mwili"-POLISI SONGWE
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK