Breaking News: Walimu Watatu Wauawa Katika Shambulio la Kigaidi Kenya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watu watatu wameuawa baada ya wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab kuvamia mji wa Garisa kaskazini mwa Kenya katika mpaka wa Kenya na Somalia.

Walimu watatu wamepigwa risasi hadi kufa katika eneo Kamuthe mapema leo asubihi.

Washambuliaji hao pia wameharibu mawasiliano kabla ya kutoroka.

Maafisa wa polisi wanafuatilia wavamizi hao huku ripoti za kiusalama zikionyoesha kwamba wavamizi wameweka vilipuzi chini ya ardhi katika barabara ya eneo hilo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad