AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Familia ya kifalme ya Uingereza tarehe 18 usiku imetoa taarifa ikikubali mwanamfalme Harry na mkewe kujiondoa kutoka shughuli za kifalme. Mpango huo utaanza kutekelezwa katika majira ya mchipukizi mwaka huu.
Taarifa hiyo inasema kwa mujibu wa mpango, mwanamfalme Harry na mkewe watafutwa vyeo vya kifalme, hawatashiriki kwenye shughuli mbalimbali kwa niaba ya familia ya kifalme, na hawatapata fedha zinazotengwa kwa shughuli za kifalme.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK