AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gari dogo limeigonga Garimoshi lililokuwa linatoka Dar es Salaam kuelekea Mpanda, Kigoma, Mwanza na Tabora. Ajali hiyo imetokea leo Januari 8, 2020 katika eneo la Vigunguti majira ya SAA 2:00 asubuhi ambapo Dereva wa gari dogo amekimbizwa hospitalini kwa matibabu.
Tutawaletea taarifa zaidi kadiri ya zitakavyopatikana kutoka mamlaka husika
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK