AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huddah amefunguka ' Najua mwanaume wangu unaingalia hii, mwanamke bora wa kumuoa ni mimi Madam Alhuda. Acha nijipigie talumbeta, nimeona kila kitu niko tayari kuwa mama wa watoto wa 5, amesema Huddah
Huddah ameongeza kuwa' Hawa wanawake wanaotoka na wavulana nalaumu sana ujana wao, hawakufurahia maisha. Nimetoka kimapenzi na Wachina, Wahindi, Wanaigeria, Wakenya. Kipindi nina miaka 21 nilijaribu kila kitu. Kutembea kufuata wanaume sehemu mbalimbali, sasa hakuna cha kunistaajabisha. Namtanzama mwanaume jinsi alivyo sio alichonacho kwenye kaptula yake😊, nimeona ya kila aina', amefunguka Huddah
JE KUPITIA MAISHA YA KUWA KWENYE MAHUSIANO NA WATU WENGI KUNAMFANYA MTU ATULIE KWENYE NDOA?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK