Huddah "Nimetembea na KILA Aina ya Mwanaume Duniani..Sasa Niko Tayari Kuzaa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mjasiriliamali na mwanamitandao ya kijamii wa nchini Kenya @huddahthebosschick amefunguka kuwa kwa sasa yupo tayari kuzaa na kuingia kwenye ndoa kabisa kwani ameshafanya kila kitu cha ujana

Huddah amefunguka ' Najua mwanaume wangu unaingalia hii, mwanamke bora wa kumuoa ni mimi Madam Alhuda. Acha nijipigie talumbeta, nimeona kila kitu niko tayari kuwa mama wa watoto wa 5, amesema Huddah

Huddah ameongeza kuwa' Hawa wanawake wanaotoka na wavulana nalaumu sana ujana wao, hawakufurahia maisha. Nimetoka kimapenzi na Wachina, Wahindi, Wanaigeria, Wakenya. Kipindi nina miaka 21 nilijaribu kila kitu. Kutembea kufuata wanaume sehemu mbalimbali, sasa hakuna cha kunistaajabisha. Namtanzama mwanaume jinsi alivyo sio alichonacho kwenye kaptula yake😊, nimeona ya kila aina', amefunguka Huddah

JE KUPITIA MAISHA YA KUWA KWENYE MAHUSIANO NA WATU WENGI KUNAMFANYA MTU ATULIE KWENYE NDOA?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad