AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja anaendelea kusema: "Nilijua atachoka baada ya dakika 60-65. Aliwapa wakati mgumu mabeki wa timu pinzani haswa Soyuncu na Evans.
Aliiunganisha timu vizuri nadhani wakati mwingine atakua bora zaidi. Nadhani alihitaji kuweka miguu yake vizuri ktk kipindi cha pili kwa nafasi ambayo Jack Grealish alimpa.
Ametuonyesha uwezo mkubwa alionao.."
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK