Kwa Yaliyonikuta Sifikilii Kupenda Tena...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa yalionikuta sifikili kwamba ipo siku1 nitatamani kuwa na girl frend, Nakumbuka nikiwa kidato cha 4 kuna bint nilimpenda xana tena sana ila sikuwai kumwambia nampenda. Nafikili sababu zinajulikana kwanza nilikua muoga, hofu ya kukataliwa isitoshe nilikuanae darasa mmoja na sababu zinginezo ikapelekea nishindwe kuongea kwake! Maisha ya shule yaliendelea na hatimae tukamaliza kidato cha nne, tukiwa mtaani namaanisha baada ya kumaliza shule sikumoja nilimpigia sim nikamueleza juu ya upendo wangu kwake! Hakua na tatizo xana katk hilo alizingu zingua siku kadhaa but but akaja akakubali na mahusiano yakaanzia hapo. Siku zilipita matokeo ya kidato cha 4 yakatoka kwamimi sikufaulu xana but nikapata nafasi ya kwenda kidato cha 5 (PCM) Upande wa bint matokeo hayakua mabaya xana lakini alipoteza mwaka mmoja nyumbani na mwaka uliofuata akajiunga na chuo cha ualimu (level ya certificate)

Japokua alikubali kua na mim ila mda huo wote tulikua wapenzi jina tu kwan hatukuwai kukutana kimwili na kila nilipo mwambia kuhusu hilo alikua hanipi jubu la kueleweka ananizungusha tu siku zote hizo. Binafsi kwakua nilimpenda kwa dhat na niliamini ipo cku1 tutakua mke na mume xo sikuona kuwa ni tatizo saana kutonipa penzi lake.
Hali iliendelea hvyo yeye akiwa chuoni kwao (certificate ya Education) Namimi nikiwa advance na kipndi chote hicho tunawasiliana tu swala la kitandani hatujawai kukutana. Ilifika kipindi nikamaliza kidato cha sita yeye akiwa bado anamalizia mwaka wake wamwishochuoni kwao.

Masaa yalienda sikuzilipita na matokeo ya fom6 yalitoka, nashukulu mungu sikufanya vibaya xana nilia apply chuo na kam unavyojua TCU ndo kilskitu kwenye selection za vyuo wakanipangia facult fln hv BACHEROL OF EDUCATION SPECIAL NEED kwenye chuo flan hapa bongo. Kipnd hicho mawasiliano na yule bint bado yapo japokua yalipungua baada ya yeye kwenda chuo lakini sikujali hilo niliendelea kumpenda na hii ni kwakua2 upendo wangu kwa huyu bint ni zaid ya ujuavyo wewe kupenda ( Siwez kuelezea kwan nilimpenda sana huyu bint).

Nikiwa chuo mwaka wakwanza nilikua na msaidia vitu ving xana huyu bint japo hajanipa penzi lake hata cku mmoja, nilikua kam ----- mbele yake kila alichotaka nilimpa na hii ni kwakua tu nilimpenda xana na niliamin nitamuoa, Sikumoja kabla hajamaliza chuo nilikuja hom kipindi nayeye akiwa likizo tukapanga tukutane mahali na hapo ndo akanipa penzi lake kwa mara yakwanza ( Binafsi nili enjoy xana ila nahisi yeye hakufurahia game) Hii ni kwakua sikuwaifanya mapenzi katka maisha yangu xo nilikua fast kumaliz na sikuludia game But bint alinambia nisijali kuhusu hilo kuwa akimaliza chuo atakujakunitembelea chuoni kwetu.

Oky sikumoja baada ya yeye kumaliza chuo alinambia nimtumie nauli aje chuoni kwetu (mie chuon naish geto sikai hostel) nikamtumia akaja. Nakumbuka alikaa geto kwangu cku2 tulipeana mapenzi motomoto ila aligundua weaknes kwangu xo akaniuliza ujawai kua na mtu, Nikamwambia NO uar the first girl in my life. Nahisi alikua hafurahii ninavyomtia NILILIA SANA USIKU NILIPOGUNDUA HAFURAHII GAME NA MIMI alikuja kunibembeleza na kuniahidi haweze kuniacha kwani nimemsaidia vitu ving, Na nikweli nimemsaidia vitu ving mno hasa kipesa sitak kusema sana juu ya hilo ila alinichuna na ni kutokana tu NILIMPENDA SANA,

Alivyoludi kwao mawasiliano na mimi yakapungua nikimpigia cm mara ananambia yupo busy, xaiv nipo nyumbani wik ya pili sasa FIELD nikimuomba tuonane anasema atanistua akiwa na nafasi huku cku zinaenda na kunamda ananikatiaga sim yani kifupi AMENIBWAGA mara yamwisho nikam2mia TEXT nikamwambia IPO SIKU UTANIKUMBUKA ndo ukawa mwisho wa mawasiliano na yeye Ila bado namuhitaji sema hainajinsi kwan kulazimisha PENZ nako ni UTUMWA.

Je tatizo Langu Hapo ni Nini Jamani?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. NEVER SAY NEVER"

    ReplyDelete
  2. first of all bado uko kijana unahitaji experience na wanawake wengine. Na hatahivyo hiyo losing kuwa tatizo kama anakupenda angekufundisha jinsi ya kufanya, so hilo ni papa linawatu wengine achana anaye magonjwa ni mengi asije akakuletea. Wewe shule iwe first mbona ukimaliza shule wanawake wakumwaga utakutana nao.

    ReplyDelete

Top Post Ad