AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa Simon Msuva amethibitisha kuwa mchezaji huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea Benfica ya Ureno lakini anaenda kwa mkopo wa miezi 6 Panathaikos ya Ugiriki, Msuva ataungana na Benfica rasmi July 2020, kila la kheri @smsuva27
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK