Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu.

Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajitoa ufahamu ili nisiishi kama fala nikajikuta nikiwa room nikachukua mkoba wake nikawa naangalia nilihamaki baada ya kukuta mafuta ya KY na babycare, mawazo yalinipeleka mbali sana kwa kweli hadi kupelekea kuvuta picha tuwapo faragha mbona my wangu sehemu zake za siri siyo kavu labda huwa anakauka (lubricant)?

Sasa nikakosa jibu ila nikaogopa kumuuliza maana ningeweza kuzua mengine. Sasa nijikaze nimuulize au nitumie njia gani kumuuliza au haya mafuta ya ulainishaji anatembea nayo kwa ajili gani na hajawahi kutumia na mimi...

By kelly
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mkiwa faraga jaribu kupenyeza line namba 2

    ReplyDelete
  2. Siku jifanye kama umekosea alafu jaribu kupeleka uume huko nyuma alafu mwanga lie reaction yake

    ReplyDelete
  3. Daaah!Pole sana aise hayo mafuta yanatumika kupaka kwenye sehem ile ili kulainisha hiyo sehem wewe cha kufanya muulize tu hayo mafuta ya nini kweny mkoba wako

    ReplyDelete

Top Post Ad