AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa muhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz ameongea na waandishi wa habari baada ya Yanga SC kufungwa magoli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika uwanja wa Uhuru mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2019/2020.
Nugaz amekubali kuwa Kagera Sugar ilikuwa bora kuliko wao ndio maana wao wakapoteza mchezo huo, Kagera wao walitengeneza nafasi zote ambazo walizitumia lakini Yanga wao wamepata nafasi nne na kushindwa kuzitumia ndio maana wameadhibiwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK