Sababu za Justin Bieber kufukuzwa gym kisa Taylor Swift zaelezwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Staa wa muziki wa pop nchini Marekani, Justin Bieber, mwishoni mwa wiki iliopita alifukuzwa mazoezini kwenye gym inayojulikana kwa jina la Dogpound, kisa ni ujio wa Taylor Swift.



Inasemakana kuwa, wakati Bieber anaendelea na mazoezi ndani ya gym hiyo ulikuwa ni wakati wa Taylor, hivyo ilikuwa ni lazima aondoke staa huyo aondoke.

Kwa mujibu wa TMZ, Bieber hakutaka kuondoka kwa wakati huo na akawa anajifanya anaendelea kucheza wimbo wake mpya wa Yummy.

Lakini baada ya Taylor kuingia, Bieber hakuwa na sababu ya kuendelea kukaa, aliamua kufuata sheria na kumpisha mrembo huyo kwa kuwa tayari muda wake ulikuwa umemalizika.

By Ally Juma.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad