Wanafunzi Waliofanya Mtihani Gerezani kwa Tuhuma za Mauaji Watusua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



WANAFUNZI sita waliofanya mtihani wa kuhitimu kidato cha Nne gerezani ambao ni kati ya watuhumiwa 8 wanaoshitakiwa kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wenzao katika shule ya sekondari ya Katoro Islamic Seminari iliyoko wilaya ya Bukoba, wamefanya vizuri katika mitihani yao ya kuhitimu na kupata ufaulu wa daraja la pili na la tatu.

 

Wanafunzi hao wanaoshitakiwa kwa mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi mwenzao Marehemu Mudi Muswadiko ambaye anadaiwa kuuawa kikatili na washitakiwa hao April 4 mwaka jana wakimtuhumu kujihusisha na mapenzi kinyume na maumbile.

 

“Wawili wamepata Division 3, vijana wanne wamepata Division 2, sisi sote tumepata faraja kubwa na tukawa tunajiuliza, hawa vijana pengine wangekuwa nje wangefanya vizuri sana zaidi” Mkuu wa Gereza.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad