AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Helikopta moja ya mizigo yaanguka huko nchini Urusi katika eneo la Yamal Nenets. Watu 2 miongoni mwa watu 10 waliokuwamo katika helikopta hiyo wafariki dunia.
Wizara ya mambo ya dharura nchini Urusi imetoa taarifa kwamba helikopta hio aina MI-8 imemeguka vipande vipande. Miongoni mwa watu 10 walikuwamo kwenye helikopta hiyo watu 2 wamefariki dunia.
Uchunguzi zaidi juu ya sababu zilizopelekea kuanguka kwa helikopta hiyo mali ya shirika la ndege linalofahamika kama Skol Airline, unaendelea.
Helikopta moja ya mizigo yaanguka huko nchini Urusi katika eneo la Yamal Nenets. Watu 2 miongoni mwa watu 10 waliokuwamo katika helikopta hiyo wafariki dunia.
Wizara ya mambo ya dharura nchini Urusi imetoa taarifa kwamba helikopta hio aina MI-8 imemeguka vipande vipande. Miongoni mwa watu 10 walikuwamo kwenye helikopta hiyo watu 2 wamefariki dunia.
Uchunguzi zaidi juu ya sababu zilizopelekea kuanguka kwa helikopta hiyo mali ya shirika la ndege linalofahamika kama Skol Airline, unaendelea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK