AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai OLE Sabaya amefanikiwa kugawa vyombo vya usafiri aina ya Pikipiki vikiwa jumla 17 kwa makatibu kata 17 katika Wilaya hiyo ya Hai.
Mbali na hilo Ole Sabaya amemtaka mbunge wa Wilaya hiyo na Mwenyekiti wa Chma cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mh. Freeman Mbowe kufanya maridhiano kwanza kwenye chama chake ndio adai madai yake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK