AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkazi wa Kijiji cha Buganda, Wilaya ya Misungwi, Bossco Amoni (20), amehukumiwa miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 12
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Wilaya hiyo, Eric Marley, alitoa hukumu hiyo baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili ukiwemo wa mtoto aliyebakwa
Mtoto huyo kwenye ushahidi wake, alidai alikuwa akienda nyumbani kwao Kijiji cha Ngudama na njiani alikutana na mtuhumiwa ambaye ni shemeji yake
Mtuhumiwa alimuomba amsindikize dukani kununua wembe na akampitisha njia ya vichakani na alipofika kwenye mti wa mwembe alimbeba na kumlaza chini na kumvua nguo kwa nguvu na kisha kumbaka
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK