KILA Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KILA Mwanaume Anaye Lala na Mimi Harudii Tena na wala Simu zangu Hapokei

Mimi  ni  mwanamke.Naomba msaada wa  mawazo  maana  sijui nina nini mimi...
Umri unanitupa mkono maana nakaribia miaka 35 lakini sijampata aliyewahi kunitangazia ndoa.Cha ajabu kila anayelala na mimi siku ya pili harudii tena na hata nikimpigia simu hapokei

Hapo ndo linapoanzia tatizo na  kunifanya nijisikie vibaya...Saivi  hata mtaani nachagua kwa kupita...
Kuna mwanaume mmoja huyo ndo aliwahi kunichana live kuwa nina maji mengi na MAMBO  yangu ni kubwa kiasi kwamba ha piz hadi amfikirie mpenzi wake wa zamani...

Jamani naomba msaada nifanyaje mie. Je kuna dawa ya kupunguza haya maji na kuifanya hii MAMBO  iwe  ndogo?
Hide My Name.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jaribu kufika hospital



    Kama wanaweza kumpasua mama mjamzito Na kumshona wanashindwaj kupunguza dimension za hiyo mambo?
    Ukishindwa mwombe mungu

    ReplyDelete
  2. Pole sana siyo utani naishi huku ughaibuni toka miaka mingi nimeishi katika mahusiano kwa muda tofauti na hawa mademu weupe mwishoni tunashindana mila na utamaduni inakuwa kasheshe sasa nimeamua kwa dhati nimpate demu ea kutoka huko kwetu TZ labda wewe unawezakuwa ndiye patner wangu mtarajiwa uje tuishi wote huku ughaibuni tuyaendeleze maisha yetu sasa cha kufanya naomba uache fone number yako katika hii blog ili tuwasiline ipasavyo na kufahamiana zaidi kiundani who knows inaweza kuwa hayawi hayawi mara yamekuwa kweli tafadhali sitanii namaanisha kweli

    ReplyDelete

Top Post Ad