AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba amemuomba Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene kuwaruhusu Wakulima wa bangi kuiuza katika kipindi cha miezi sita.
Amesema, wapo Wakulima wa bangi wanaoshindwa kuiuza kwa kuwa kilimo hicho hakiruhusiwi nchini, na kumuomba waliolima wapewe msamaha wa miezi sita ili wauze kabla soko la zao hilo kuporomoka
Mbunge huyo ambaye mara kadhaa amekuwa akiitaka Serikali kuruhusu kilimo hicho akidai kina soko kubwa ndani na nje ya Tanzania, ametoa kauli hiyo leo.
Baada ya kauli hiyo, Spika Job Ndugai ameisihi Serikali kuangalia jambo hilo kwa mapana kwani nchi ya Canada inapata fedha nyingi kupitia zao hilo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK