Mino Raiola Aweka Hatma ya Paul Pogba ndani ya Manchester United katika Mashaka Mapya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Paul Pogba "hatowaza" kurudi Juventus kwani "Italia ni kama nyumbani"- kulingana na wakala wake Mino Raiola.

Pogba - ambaye anaendelea kupona kutoka kwenye jeraha la kifundo cha mguu - amehusishwa sana kujiunga na mabingwa wa Serie A Juve au miamba ya LaLiga Real Madrid, huku kiungo huyo wa United akiripotiwa kukosa furaha ndani ya Manchester.

Raiola ameweka hatma ya Pogba katika mashaka baada ya kutazama mchezo wa Juve (1-1) dhidi ya Milan- kwenye mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Coppa Italia Alhamisi.

"Italia ni kama nyumbani kwa Paul. Hana tatizo kurudi Juve lakini tutaona kitakachotokea baada ya fainali za Euro," Raiola aliwaambia waandishi wa habari.

"Paul anataka kucheza katika kiwango bora lakini hawezi kutoroka Manchester United ikiwa wapo katika hali ngumu."

Pogba amecheza michezo nane tu kwenye mashindano yote kwa Man United
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad