Muumini Mbaroni kwa Kuiba Sadaka Kanisani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Peter Muiya Irungu anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuiba sadaka katika Kanisa Kuu la James lililopo Murang’a nchini Kenya.

Inadaiwa kuwa Mtuhumiwa huyo hujifanya anasali na watu wote wanapoondoka Kanisani, anafungua masanduku ya sadaka kwa kutumia waya maalumu.

Uongozi wa Kanisa hilo uliamua kuweka kamera za siri baada ya sadaka kuanza kupotea.

RC Kilimanjaro azuia mshahara wa Mkurugenzi
Kanisa hilo limesema limeshangazwa na kitendo hicho cha Irungu, kwakuwa ni mmoja kati ya waumini wenye mahudhurio mazuri Kanisani na hajawahi kukosa ibada hata siku moja.

Aidha, watu wa karibu wa Mtuhumiwa huyo wanasema alianza tabia za wizi tangu mwaka 2018.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad