Ndoa Haina Mwenyewe Bana...Kama Unabisha Angalia Watu Wanao Oa na Kuolewa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ukitaka Kujua NDOA HAINA mwenyewe angalia watu wanaoolewa na kuoa...Ni wale usiowategemea kabisaaaaaaaa

Ndoa haina Kanuni...Kwamba ukifuata Stage 1,Ukavuka Stage 2 basi unaqualify...WALAAAA
Kuna watu na Bikira zao(kama Mimi) na watu hawana habari nao kabisaaaaa
ILA kuna watu 'wametumika' mpaka Mshale wa Kilomita umeungua,hausomi,lakini kabla ya September mwaka huu, vidole vyao vitakua vinang'aa kwa bati takatifu la dhahabu
Watu wanaloga waolewe...UTASANDA

Wengine wanapretend ili Wawavutie watu flani...UTASUBIRI SANA
Ndoa ni Blessing from God na ni kitu kitakatifu...Ni Mpaka Mungu aaandike,aruhusu...HAINA MBINU

Just BE URSELF mtu akupende na akuoe kama ulivyo,Usimuonyeshe wewe ni Mwekundu ili akupende halafu aje agundue wewe ni wa Pink

UTAKUWA MJANE KIJANA BAADA YA 3YEARS!

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad