UREMBO: Namna ya Kufanya Ngozi yako iwe Laini....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tumia Mafuta ya Nazi yaliyochanganywa na Carrot. Huu ni mchanganyiko ambao unautengeneza mwenyewe. Tumia mafuta ya nazi gm 250 na karoti moja yenye ukubwa wa wastani

Parua karoti yako katika kiparulio kinachotoa karoti iliyosagika kabisa. Bandika mafuta yako ya nazi jikoni kisha weka karoti uliyokwisha kuparua, wacha vichemke. Ipua ukiona karoti imekuwa brown

Yakishapoa yanakuwa tayari kwa kujipaka. Unaweza kuweka Rose water, Karafuu au Marashi yoyote uyapendayo. Hii pia ni tiba kwa ngozi iliyofubaa kwa jua, upepo au mafuta
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad