AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hakuna siku ambayo tulitangaza kuwa tuna uhusiano, watu wanatengeneza maneno tu na kuyasambaza, mimi sina uhusiano wa kimapenzi na Irene (Uwoya).
Hapana, Irene hajawahi kuwa mtu wangu na wala kwenda naye sehemu yoyote. Huo ni umbea tu, watu wanautengeneza na mimi ndiyo najua ukweli kuwa hakuna kinachoendelea maana nina uhusiano na mtu mwingine tofauti na huyo Irene.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK