China yatoa Tangazo Kuhusu Ndege zote za Abiria Zinazo Kwenda Nchini Humo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali ya China imetangaza kuanzia leo ndege zote za abiria zinazokwenda nchini humo katika mji mkuu wa Beijing, zitalazimika kushukia katika viwanja vya ndege vya miji na majimbo ya jirani ili abiria wafanyiwe uchunguzi wa afya kabla ya kuendelea na safari ya kuelekea Beijing.

Abiria watakaosafiri na Shirika la Ndege la Ethiopia watashukia katika Uwanja wa Ndege wa Taiyuan (TYN) na abiria watakaosafiri na Shirika la Ndege la Emirates watashukia Shanghai kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad