AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Hivi muna hii nguo huo mpasuo ulikua na maana gani kupasua mpaka tunaona vya ndani kiukweli ungekuwa mke wangu hiyoo nguo ningekuacha uivae ile unatoka unaenda kupanda gari naimalizia kuichana mpasuo hadi mgongoni,Sipendagi ujinga
Jamani hivi ni sawa kweli, Mtu uliyeokoka kupiga mpasuo wa hivi hahahahahahahaha Munalove njooooooooo..Mimi sijapenda kabisa Baba mlezi" ameandika Mbasha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK