Hali ni Mbaya Kwa Wenzetu, Mtu Mmoja Hufa KILA Baada ya Dakika 10 Kwa Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



#Coronavirus inaua mtu mmoja kila baada ya dakika 10 nchini Irani. Idadi ya vifo kwa nchi hiyo iliyoathiriwa zaidi Mashariki ya Kati ni 1,284, huku watu 18407 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo

Msemaji wa Wizara ya Afya, Kianush Jahanpur alituma tweet kwamba watu 50 wanaambukizwa virusi hivyo kila baada ya saa moja

Kiongozi wa juu wa Irani atawasamehe wafungwa zaidi ya 10,000 kwa juhudi za kupambana na ugonjwa huo mbaya
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad