"Harusi wiki ijayo" - Hamisa Mobetto Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Baada ya kusema yupo single kwa muda mrefu sasa, mrembo na msanii Hamisa Mobetto amekiri na kuweka wazi kuwa yupo tena kwenye mahusiano na ndoa yake inaweza ikawa wiki ijayo.


Hamisa Mobetto ameeleza hivyo kupitia insta story ya mtandao wa Instagram, ambapo alitoa muda kwa mashabiki zake kumuuliza maswali yoyote kisha yeye kutoa majibu.

Moja kati ya maswali aliyoulizwa yalikuwa ni bado upo single, shemeji yetu ni nani, na harusi yake ni lini ambapo amejibu kwa kuandika,

"Sijarudiana na EX wangu na sipo single, nipo kwenye mahusiano sasa hivi, ila nina shemeji yenu mzuri, siku ya ndoa mtamuona inshaalah na harusi wiki ijayo".

Pia kupitia mitandao ya kijamii kuna stori ambazo zinaeleza kuwa huenda Hamisa Mobetto na Alikiba wamefikia hoteli moja huko visiwani Zanzibar, baada ya ramani "location" zao kusoma zipo sehemu moja hali ambayo inafanya watu kuwaza vitu tofauti.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad