Huyu Hapa Mwanaume Handsome zaidi Duniani...Aliyefukuzwa Nchini Kwake Sababu ya Uhandsome Wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Fahamu: Omar Borkan(30) mwanamitindo pia muigizaji wa nchini Iraq ndie anadaiwa kuwa mwanaume handsome zaidi duniani. Aliukwaa umaarufu mwaka 2013 baada ya kuripotiwa kufukuzwa nchini Saudi Arabia kwa kinachoelezwa ni sababu ya jamaa kuwa handsome wa kutupwa

Wewe unamuonaje ni kweli uhendisamu wake umevuka mipaka au?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad