AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Iran Hassan Rougani amesema Iran ilijibu na itaendela kujibu mashambulizi dhidi ya kifo cha Jenerali wa ngazi za juu wa Jeshi la Iran Qassem Soleimani aliyeuawa na Marekani akiwa Iraq
"Marekani imemuua Kamanda wetu tuliwajibu kwa kipigo kilichowaumiza Wanajeshi wao vibaya na tutawajibu tena hivi karibuni”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK