JE, Mwanamuziki Stamina Anabebwa na ROMA Mkatoliki..? Mwenyewe Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


RAPA mkali Bongo, Bonventure Kabogo ‘Stamina Shorwe-bwenzi’ amejimwambafai kuwa, anaweza kusi-mama mwenyewe bila rapa mwenzake, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ wanaounda muunganiko wa ROSTAM.

Akistorisha na OVER ZE WEEKEND, Stamina amesema, kuna watu wana mtazamo huo kuwa hawezi kusimama kwenye muziki wake bila Roma ambaye kwa sasa maskani yake yapo nchini Marekani.

“Nimeanza kufanya muziki muda mrefu bila kuwa kwenye kundi. Sasa kwa nini watu waseme kuwa siwezi kusonga mbele kwa sababu mwenzangu ameenda kuishi nchi nyingine? Tayari kuna ngoma ambazo zinafanya poa na nimesimama mwenyewe,” anasema Stamina ambaye ametisha kwenye ngoma yake ya Asiwaze.

STORI: HAPPYNESS MASUNGA
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad