AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
1. Tunaongoza kwa kuwa vimada kwa waliooa, lakini sisi hatuolewi:
(a) Miili yetu imepitwa na wakati?
(b) Labda wanadhani tutashindwa mechi?.
2. Tufanyaje ili nasi tupate wanaume wa kutuoa?
(a) Tuifanyie miili yetu diet/tujikondeshe ili tuwe wembamba,
(b)Tuanze kuwatongoza wanaume.
NALILETA MEZANI TULIJADILI.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mnatazamwa Kama malaya hasa wengi mnaenda kutingisha matako yenu na kuvaa nguo zinazobana wakati unajua unahips na matako makubwa. Pili wanaume wengi wanachukia sana akiona mke wake vijana wanamkodole Macho pale watembeapo. Jirekebisheni kwenye mavazi na jinsi ya kutembea. Pia huwa mnamajiringo sana kwa kuwa mnatongozwa na wengi bila kujua kuwa wanaume wanawachukuliaje.
ReplyDeleteLkn hawa udaku siwaamini kazi Yao kutoa makala ili wajaze pages hawafatilii chochote kabla sio kweli
ReplyDeleteDharau na kiburi sana nde sababu.
ReplyDeleteMwanaume atakuwa yupo kwa dhati kwako ila wewe jeuri xana, kwa mjanja atajishusha kwako ili apate
Chini akishapata pale Kati humuoni tena.then utakula jeuri yako mwengine akija anapiga na kupotea.
Nani anataka pressure kila mmoja anamkodolea macho mwanamke mzuri sana sio wa kuoa ni kutumia na kuacha ukioa ujue umeolea watu
ReplyDeleteUkioa mwanamke mwenye makalio makubwa ujue lazima kugongewa maana kila MTU anakodolea macho
ReplyDeleteWanaolewa tu mbona, kama hunaolewa nj wewe binafsi.
ReplyDelete