Kwanini Vijana wa Diamond Platnumz Hawapati DILI za Matangazo?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Licha ya kufanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii, lakini dili nyingi tunaona zikienda kwa Baba yao pekee.

Vijana wanakwama wapi kwani.

Tembo Mnyama kila siku dili mpyaaa.

Hongera Harmonize kwa jicho la fursa. Uliona mbali sanaa.

Japo wengi walikuponda kwa maamuzi yako ya kujitoa wasafi, lakini sasa wameanza kukuelewa.

Piga pesaa dogo. Mbadala wa Diamond ni wewe
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad