Mbowe na Familia yake Wabainika Hawana Corona Wakiwa Karantini Baada ya Mtoto Kunaswa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Familia ya Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe imesema baada ya mtoto wao kukutwa na ugonjwa wa Corona familia nzima ilijikarantini ili kupunguza uwezekano wa kuwaambukiza wengine.

Ujumbe mfupi uliotolewa na Mbowe ikiwa ni siku kadhaa tangu mtoto wake kukutwa na ugonjwa huo umeeleza kuw wanafamilia wengine ni wazima wako salama na hawana ugonjwa huo.

“Baada ya Mwanangu Dudley kuwa positive na virusi vya Corona, familia nzima (Dar na Dodoma) iliingia kwenye “self isolation” kuondoa uwezekano wa kuambukiza wengine endapo tungekuwa na sisi tumeambukizwa”

Poleni wote kwa hofu na asanteni sana wote kwa sala zenu! Indeed, ours, is an Amazing and Loving God.

“Hata hivyo tutaendelea kuwa kwenye isolation hadi siku 14 zinazoshauriwa zitimie kamili, Nawasihi wote tuendelee kuchukua tahadhari zote kwa kadiri na ushauri unaotolewa, Mbarikiwe sana”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad