Mchungaji Afrika Ya Kusini Aomba Mil 230 Kwa Ajili ya Kwenda Kuzimu Kupambana na Pepo la Corona

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mchungaji Mboro kutoka Afrika Ya Kusini ameomba kupatiwa Tsh Milioni 230 kwaajili ya safari ya kwenda kuzimu kwaajili ya kupambana na pepo ambae amesababisha Corona Virus.

Mchungaji Mboro anasema haina haja ya kutumia gharama katika tafiti za kisayansi kwani sababu ya kile kinachotokea kwa sasa ni pepo mchafu ambae yupo kuzimu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wacha utapeli, kama kweli ntamwambia Tlamp atume badala ya kupoteza kwenye Ventileta. Adika Akaunti yako ya Mpesa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Usitume kwanza, ngoja Manabi na Mitume wa Bongo wahakiki kwanza.

      Delete

Top Post Ad