AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya Soukous Aurlus Mabele amefariki dunia jijini Paris nchini Ufaransa.
Kwa mujibu wa NationBreaking kifo cha Mabele kimetokana na kiharusi na homa ya Covid-19.
Taarifa hiyo imetolewa na msanii mwenzake wa LOKETO Nyboma Mwandido.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK