Rais wa Brazil Apuuza Ugonjwa wa Corona " Ni Mafua tu Kwanza Ipo Siku Wote Tutakufa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Rais Jair Bolsonaro amevifananisha virusi vya #Covid19 na ‘Mafua’ na kuwataka raia kuendelea na ujenzi wa uchumi na kusema sababu ya kutowazuia raia kutoka nje ni kuwa wote kuna siku watakufa

Wizara ya Afya ya Brazil imeripoti visa 3,904 vya maambukizi ya #Covid19 na vifo 114 ambapo Bolsonaro aliwaambia wafuasi wake "Virusi viko, itabidi tukabiliane navyo. Tuvikabili kama wanaume, sio mvulana"

Pia amevishutumu vyombo vya habari vya nchi hiyo kwa kukuza sana kuenea kwa virusi hivyo na kusema wanaeneza hisia za woga, kwa kutumia wanaokufa nchini Italia ili kuleta wasiwasi

Rais aliuliza wiki iliyopita kwanini shule zifungwe ikiwa ni watu wa zaidi ya miaka 60 ndiyo walio kwenye hatari ya kuambukizwa na virusi hivyo?
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad