AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa sasa hivi haina ubishi, Rosaree ndiye msanii wa kike anayefanya juhudi kubwa zaidi kwenye sanaa ya mziki.
Rosa Ree amemleta nchini msanii wa Zambia al maarufu kama Roberto wa "Amarula" na habari zinazosambaa ni kwamba wanajiandaa kutoa wimbo mpya pamoja na msanii huyo Ijumaa hii.
Hata hivyo Rosa Ree ameendelea kuwashangaza mashabiki zake pamoja Tanzania kwa nyimbo zake za kimataifa kama "Balenciaga" ambayo inafanya vizuri sana Afrika nzima.
Mashabiki wa Rosa wamefurahishwa sana na wimbo wa wanawake ulioandaliwa na Diamond ambapo hawakutegemea kama Rosa Ree atafanya vyema kutokana na beat la wimbo huo kuwa tofauti na beat zake alizozoea.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK