AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki, Shilole Jumatatu hii ameutambulisha uongozi wake mpya mbele ya waandishi wa habari pamoja na mipango wake mipya. Katika utambulisho huo muimbaji huyo aliweza kuzungumzia mambo mbalimbali hukusu maisha yake pamoja na ahadi ambayo aliitoa Diamond wakati anaolewa na Uchebe. Katika hatua nyingine Shilole amedai moja ya vitu ambavyo anavijutia kwenye maisha yake ni kuchota tattoo, amedai moja na tattoo ambaye anaijutia ni ile aliyechora Zebra ambayo ni alama za barabarani
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK