AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameeleza kuwa Tanzania imepokea msaada wa vifaa tiba vya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona ambavyo vimetolewa na mfanyabiashara maarufu wa nchini China, Jack Ma
Vifaa tiba hivyo vimesafirishwa kuja Tanzania pia Somalia, jana asubuhi vifaa vilisafirishwa pia kwenda Nchi nyingine 9 ikiwemo Kenya.
Katika vifaa hivyo zimo mask, vifaa vya kupimia na nguo za kujikinga na corona.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Don't use it.
ReplyDelete