Wema: Siwezi Kukaa na Kinyongo Watu Wengi Wananikosea Sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



BIBIE Wema Sepetu amesema kuwa katika vitu ambavyo hawezi kuishi navyo moyoni ni kinyongo, kwa sababu anaamini kukaa na kinyongo ni sawa na kujizibia riziki na kuzuia mambo yako yasiende.

Mrembo huyo anafanya poa kunako anga la sinema Bongo, amesema kuwa, ukiona amemchukia kweli mtu, basi ujue kuna kitu kikubwa kamfanyia, lakini mbali na hapo, yeye ni mtu wa kusahau na kusamehe kisha kuacha maisha yaendelee.

“Watu wengi sana wananikosea, lakini ukweli ni kwamba siwezi kukaa na kinyongo kwa muda mrefu moyoni mwangu, mimi huwa nasahau na kusamehe pia kisha mwisho wa siku namuachia Mungu ndio anadili na wabaya wangu,” alisema Wema.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad