Askari Aliyeokoa Uhai wa Mtoto wa Mwaka Mmoja Aliyetupwa Chooni Apandishwa Cheo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kamishina Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John Masunga amempandisha cheo Danis Minja wa jeshi hilo kwa ujarili wake wa kuingia kwenye shimo la choo na kufanikiwa kumuokoa mtoto mwenye umri wa mwaka moja na nusu katika Kata ya Murgwanza wilaya ya Ngara mkoani Kagera.

Askari huyo wa kikosi cha Zimamoto na uokoaji amepandishwa cheo kutoka Constable na kuwa Koplo.

Video ambayo inaonyesha jinsi alivyomuokoa mtoto huyo ilisambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Baadhi wa watu waliyoiona video hiyo walimsifu askari huyo kwa ujasiri aliouonyesha huku wenginine wakisema anastahili kuongezewa cheo kwa jinsi alivyojitolea.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad