Cheed na Killy Baada ya Kuondoka KINGS Music Wanaenda Wapi ? Jibu Lipo Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Inaweza Ikawa Habari Mpya Kwako, Ila Kaa Ukifahamu Hilo, Aswa Huyu Msanii OfficialCheed Kamati Yetu Ya Umbea Ilitupa Taarifa Yake Kabla Ya Kutoka KingMusic Na Kutaka Kuingia Katika Lebo Ya Konde Music Worldwide Ya HarmonizeTz Akiwemo Na Officialkilly.

Pia Fahamu Hili, Wasanii Hawa Kipindi Wapo KingMusic Ya Alikiba, Killy&Cheed, Alikiba Alikua Nao Hawa Wasanii Bila Ya Kuwasajili, Yani Hawakuwa Na Mkataba Wote Kati Yao.

Lakini Pia Mpka Sasa Hivi Bado Haijajulikana Cheed&Killy Walikosa Nini Kwa Alikiba Mpka Wakajiondoa KingMusic Ila Matumaini Yetu Tutapata Habari Ilio Kamilika Kutoka Kwa Alikiba Kwa Nini Wameamua Kuondoka Katika Lebo Yake, Nini Walicho Kosa Kutoka Kwake.

Tukiwaondao Wasanii Cheed&Killy KingMusic Itabaki Na Wasanii Wanne, K2ga, AbduKiba, TomFleva, Na Alikiba Mwenyewe.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad