COVID-19: Wasanii waomba kupewa pesa zao zinazotokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye redio na runinga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katibu Mkuu wa Chama cha Muziki wa Kizazi Kipya (Tuma) Brighton amesema kutokana na hali mbaya ya uchumi wa wasanii uliosababishwa na janga la corona, wasanii walianza kujadili namna ambavyo watapewa pesa zao zinazokusanywa na COSOTA kutoka kwenye makusanyo ya nyimbo za wasanii zinazopigwa kwenye redio ya TV.

 
Ameyasema hayo leo katika mkutano ulioandaliwa na Viongozi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kujadili namna gani ya kufanya shughuli za Sanaa katika kipindi hiki ambacho dunia inapitia kipindi kigumu cha ugonjwa hatari wa Corona.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kayumba na Meshack ni Lazima Hawa Matapeli wa wape Haki za Wizara na Baraza wanalielewa Hilo.

    ReplyDelete

Top Post Ad